Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka jiwe la msingi la upanuzi wa uwanja wa ndege wa Bukoba leo Julai 24, 2013.
Rais Jakaya Kikwete pamoja na Viongozi mbali mbali wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kuweka jiwe la msingi kwenye Uwanja wa Ndege wa Bukoba.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 25, 2013

    yaani hii serikali siielewi. upanuzi wa uwanja wa ndege uliopo katkati ya mji? come on!! is this not craziness??

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 25, 2013

    Mswmaji hapo juu naona kama Bukoba Airport uielewi vile! Uwanja uko pembezoni mwa mji na karibu na ziwa Victoria.

    Ningeomba upongeze hatua hii maana mkoa wa Kagera huwa haujulikani uko nchi gani maana hata marais wanaokuwa madarakani kutembelea ni wakati wa kampeini tu.

    hongera wakazi wa Kagera nayi mmeingia kwenye ramani ya Tz.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 25, 2013

    Mswmaji hapo juu naona kama Bukoba Airport uielewi vile! Uwanja uko pembezoni mwa mji na karibu na ziwa Victoria.

    Ningeomba upongeze hatua hii maana mkoa wa Kagera huwa haujulikani uko nchi gani maana hata marais wanaokuwa madarakani kutembelea ni wakati wa kampeini tu.

    hongera wakazi wa Kagera nayi mmeingia kwenye ramani ya Tz.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 26, 2013

    ni kweli huwa hawatembelei kwani wanachotaka na kuvuna mali na kuzipeleka Dar. siku moja tutakuwa kama wananchi wa Mtwara.

    kaka hapo sio pembeni ya mji. hapo ni mjini. ndege ikitua hata ndogo inapiga kelele mji mzima

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...