Mpiganaji Gabriel Zacharia wa TBC akiwa kazini katika uwanja wa Taifa wa Harare, Zimbabwe, siku ya kuapishwa Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo Agosti 22, 2013
Ankal akiwa na mpiga picha wa Ap aliye na makao yake Johannesburg, Afrika Kusini
Mpiganaji Oscra Mbuza wa HabariLeo akiwa katika uwanja wa Taifa wa Harare, Zimbabwe, siku ya kuapishwa Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo Agosti 22, 2013





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...