??????????????????????????????? 
Raymond Maro akiwa katika picha ya furaha pamoja Laurine Ogoma Prisca na mtangazaji Roger Rajar baada ya mahojiano na idhaa ya Kifaransa ya VOA. ??????????????????????????????? 
Mtangazaji maarufu wa VOA Straight Talk Africa Shaka Ssali akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Vijana katika Jumuiya ya Afrika mashariki kwa upande wa Tanzania ndugu Raymond Maro pamoja na mtangazaji mwenza Mariama Diallo na Martin Buhendwa kiongozi wa kundi la Friends of Congo kwa upande wa Vijana ndani ya studio za VOA siku ya Kipindi cha Straight Talk Africa kilichojadili nafasi ya vijana katika jamii na siasa. Best moment at VOA 101 
Raymond Maro akishiriki kipindi cha televisheni cha VOA - French akiwa na Laurene Saucer na mtangazaji wa kipindi Roger Rajah Muntu ndani ya jumba la VOA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Maro, Wewe ni kioo usiwaangushe vijana. Songa mbele kiadilifu na Mungu akutangulie

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...