Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma Bw. David Misime akitembelea Banda la Polisi Tanzania Katika Maonyesho ya siku kuu ya wakulima ya Nane nane, kujionea mambo mbalimbali yanayofanywa na Jeshi hilo, Hapa akipokea fomu ya maelekezo ya kujiunga na Chama cha kuweka akiba na kukopa katika Jeshi la Polisi,Usalama wa Raia Saccos( URA SACCOS)  toka kwa mkaguzi wa Polisi Christina Mkonongo mwenye fulana ya rangi ya blue
 Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma Bw. David Misime akitembelea Banda la Polisi Tanzania Katika Maonyesho ya siku kuu ya wakulima ya Nane Nane
 Askari wa Jeshi Polisi wa kikosi cha Kukabiliana na Majanga Mkoani Dodoma wakitembelea banda la Polisi katika maonyesho ya sikukuu ya wakulima ya Nane Nane inayofanyika Kitaifa Mkoani humo kujionea na kujifunza mambo mbalimbali kuhusu Jeshi la Polisi Tanzania.
Picha na Luppy Kung’alo wa Jeshi la Polisi Dodoma

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Sasa SMG za nini katka maonesho?

    ReplyDelete
  2. Asante anonym hapo juu, maana hata na mimi nilitaka nihoji hilo, mabunduki ya nini sasa?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...