Mjumbe wa Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani, Bi. Anna Mollel akitoa maoni yake kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano uliofanyika leo (Jumapili Agosti 4, 2013) katika ukumbi wa shule ya Sekondari ya Kilangalanga uliopo Wilayani humo.
 Mjumbe Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani, Bi. Mwajuma Ramadhani  akitoa maoni yake kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano uliofanyika leo (Jumapili Agosti 4, 2013) katika ukumbi wa shule ya Sekondari ya Kilangalanga uliopo Wilayani humo.
 Mjumbe Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani, Bw. Adam Korongo akitoa maoni yake kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano uliofanyika leo (Jumapili Agosti 4, 2013) katika ukumbi wa shule ya Sekondari ya Kilangalanga uliopo Wilayani humo.
 Mjumbe Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani, Bw. Mohamedi Malande akitoa maoni yake kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano uliofanyika leo (Jumapili Agosti 4, 2013) katika ukumbi wa shule ya Sekondari ya Kilangalanga uliopo Wilayani humo.
1.       Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Prof. Palamagamba Kabudi (kushoto) akizungumza na Wajumbe wa Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Kihaba Mkoani Pwani leo (Jumapili Agosti 4) katika mkutano wa kuijadili na kuitolea maoni Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume hiyo. Kulia ni Mjumbe wa Tume hiyo, Mhe. Al- shaymaa Kwegyir. PICHA NA TUME YA KATIBA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...