Aziza Kimsi wa TOT Taarab akiimba.
Wanamuziki wa TOT wakiimba.
Kiongozi wa Extra Bongo, Ally Choki, akiimba wimbo wa Mtenda Akitendewa.
Wanamuziki wa Extra Bongo wakiwa kazini.
Ally Choki na mnenguaji wake wakionyesha ‘machejo’.
Wanenguaji wa Extra Bongo wakijinafasi.
Naibu Mkurugenzi wa TOT, Gasper Tumaini akionyesha 'matindo' 
ukumbini. MASHABIKI wa muziki jana walipata burudani ya kukata na shoka katika sikukuu ya Idd Pili kwenye Ukumbi wa Dar Live ulioko Mbagala-Zakhem jijini Dar es Salaam ambapo walichenguliwa vilivyo na bendi za Extra Bongo na TOT.
(NA ISSA MNALLY / GPL)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. hao wachezaji ni kama wamevaa jezi za kuogelea!!!!! au macho yangu! Nakumbuka Bongo kukupi ya Ulaya Ulaya wati wanatoka na night gowns kwenye mitoko! Kuiga huku jamani knatuumbua!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...