Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(kulia) akipokea zawadi ya Kinyago cha
Twiga kutoka kwa Msanii maarufu Mzee Otmar Francos Mpanda kutoka
Mkoani Mtwara wilaya ya Masasi,pia akiwa Mzee wa CCM Wilaya hiyo,hafla
hiyo ilifanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja.Picha na
Ramadhan Othman,Ikulu.
Home
Unlabelled
Dkt. Shein Apokea Zawadi kutoka kwa Msanii maarufu wa Mkoani Mtwara
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...