Meneja Uendeshaji wa Kampuni ya MultiChoice Tanzania,Ronald Baraka Shelukindo (kulia) akitoa maenezo ya huduma mbali mbali zinazorushwa na Televisheni yao ya DStv pamoja na huduma ya soka katika msimu mpya wa ligi mbali mbali Duniani mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) leo kwenye ukumbi wa Mikutano ya Hoteli ya New Afrika,jijini Dar es Salaam.Wengine pichani toka kushoto ni Meneja Masoko wa Kampuni hiyo,Furaha Samalu,Meneja Mauzo,Salum Salum pamoja na Meneja Uhusiaono wa Kampuni hiyo,Barbara Kambogi.
Meneja Masoko wa Kampuni ya MultiChoice Tanzania,Furaha Samalu (kushoto) akifafanua jambo mbele ya mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) leo kwenye ukumbi wa Mikutano ya Hoteli ya New Afrika,jijini Dar es Salaam.
Meneja Uhusiaono wa Kampuni ya MultiChoice Tanzania,Barbara Kambogi akieleza ubora wa huduma hivo mpya.
Sehemu ya Waandishi wa Habar toka vyombo mbali mbali wakifuatilia mkutano huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. wote mmekwenda ukumbi wa maelezo kuuza sura ofisi mmemwachia nani?.....

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...