Mjumbe wa Bodi ya Baraza la Biashara la Ubelgiji na Luxembourg Bwana Christian Verbrugghe (aliyeshika kabrasha) akimweleza Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Kamala maandalizi ya ziara ya Wafanyabiashara na Wawekezaji wa Ubelgiji na Luxembourg inayotarajiwa kufanyika Tanzania. Ubalozi wa Tanzania Ubelgiji kwa kushirikiana na Taasisi ya Uwekezaji ya Ubelgiji, Taasisi ya Uwekezaji Tanzania na Baraza la Wafanyabiashara la Ubelgiji na Luxembourg wanaadaa ziara hiyo.
Home
Unlabelled
Mjumbe wa Baraza la Biashara la Ubeligiji na Luxembourg Bwana Christian Verbrugghe amtembelea Balozi Dr Kamala ofisini kwake Brussels
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...