Mjumbe wa Bodi ya Baraza la Biashara la Ubelgiji na Luxembourg Bwana Christian Verbrugghe (aliyeshika kabrasha) akimweleza Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Kamala maandalizi ya ziara ya  Wafanyabiashara na Wawekezaji  wa Ubelgiji na Luxembourg inayotarajiwa kufanyika Tanzania. Ubalozi wa Tanzania Ubelgiji kwa kushirikiana na Taasisi ya Uwekezaji ya Ubelgiji, Taasisi ya Uwekezaji Tanzania na Baraza la Wafanyabiashara la Ubelgiji na Luxembourg wanaadaa ziara hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...