Katibu
wa Chama cha Pool Taifa(TAPA),Amos Kawinga(kulia) akizungumza na
waandishi wa habari (hawapo pichani ) kuhusu muendelezo wa ratiba ya
mashindano ya Safari Pool Competitions 2013 jijini Dar es Salaam.Kushoto
ni Meneja masoko wa Kampuni ya Bia Tanziania(TBL), Fimbo Butallah
Meneja Masoko wa TBL,Fimbo Butallah akizungumza.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...