Katibu wa Chama cha Pool Taifa(TAPA),Amos Kawinga(kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani ) kuhusu muendelezo wa ratiba ya mashindano ya Safari Pool Competitions 2013 jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Meneja masoko wa Kampuni ya Bia Tanziania(TBL), Fimbo Butallah
Meneja Masoko wa TBL,Fimbo Butallah akizungumza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...