KATIKA KUELEKEA SIKUKUU YA IDD EL-FITR,DUKA LAKO LA VIWALO VIKALI JIJINI DAR ES SALAAM LIFAHAMIKALO KAMA J&M VIRGO,LINAKUPATIA PUNGUZO LA BEI WEWE MTEJA WAKE ILI UWEZE KUTOKA NA VITU VIKALI VYA KUTINGA SIKU YA IDD EL-FITR.

HIVYO FIKA DUKANI KWAO PALE MIKOCHENI KWA WARIOBA,JENGO LA C&G PLAZA KUJICHUKULIA PAMBA KALI,MOKA ZA KISASA NA MICHUCHUMIO MIKALI KWA KINA DADA PAMOJA NA MIKOBA.

KWA TAARIFA ZAIDI TEMBELEA LIBENEKE LAO

 MAGAUNI YA KILEO KWA KINA DADA NA KINA MAMA
 SANDROZ KALI KWA KINA BABA KWA AJILI YA KUVALIA KANZU WAKATI WA KWENDA KWENYE SWALA YA EID EL - FITR.
MICHUCHUMIO NDIO USISEME KWA KINA DADA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...