Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Binti yuko Smart ila anamambo ya kitoto toto sana kila kitu I dont know,yaani akajifunze kufanya interview. Kasoma lakini anashindwa na kina Zembwela?? I didn't expect that from her

    ReplyDelete
  2. Haka katoto kako so bright kanafanya nini kwenye jamii. misikajui

    ReplyDelete
  3. Kako bright lakini dream anazotaka kuzifanya bongo is extremely impossible ataishia kuzeeka na kuolewa tu.

    ReplyDelete
  4. naona mnataka akabebe box na ninyi huko mdau wa...>>kuolewa na kuzeeka>>....

    ReplyDelete
  5. waju waju tu kaza buti dada.

    ReplyDelete
  6. Tunazungumzia hali halisi, usanii bongo haulipi, tuna mifano chungu mzima kuanzia kwa:Odemba, Mr Nice, Saida, Richard Big brother, Ray c, Nancy Sumari, Irene Kiwia, K lyin.Hawa ni baadhi ya watu waliovuma sana kibongobongo hata East Africa, lakini they hand over no where. Tatizo hawa watu wakipataga umaarufu wa kibongo basi wanataka kujilinganisha na wakina Jz, pamoja life style kama unavyoona wanavyoojiana eti ,wana majina makubwa, .Majinna nmakubwa Tanzania?

    ReplyDelete
  7. Hahahhahahahahahah kasheshe.Mtoto smart sana nilisoma nae chuo kikuuu UDSM na alikuwa anakimbiza mbaya.Kwa akili zake angejikita zaidi kwenye kufanya kazi am sure hata UN anaingia na angefika mbali.Sanaa bongo bado sana atajikuta anafanya hili anaacha ..Mfano alianza kuimba,mara kuigiza,mara fashion design(kidoti),mara ana nywele zake ,mara elimu huko Songea n etc so kwangu mimi naona kama umri unaenda na miaka inasogea na wakati angekaa ofisini ni bonge la mchapakazi...Hayo ni maoni tuuu mana ni binti ninaye mfahamu kwa uwezo wake mkubwa ...verryyyy smart

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...