Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Katika Treni la msafara wa Utandawazi niliwahi kushuhudia Watu wenye Misimamo mikali wakiepekana na matumizi ya vitu kama:

    1.Televisheni na Radio
    2.Simu za Mikononi
    3.Intaneti

    Mwisho wa yote ikaja kutokea wenyewe wakitumia na kupatikana kwa njia ya Simu!

    Vivyo Hivyo ktk msafara huo wa FACEBOOK, TWITTER na BLOG hakuna Jinsi tutalazimika kuvitumia ni vile dunia ya sasa bila intaneti itafikia wakati hutaweza hata kununua Kiberiti kwa kuwa Sehemu za Mauzo zote POS (Point of Sales) muda si mrefu zitaunganishwa ktk Mitandao na Matumizi ya Fedha Taslimu ndio yanaelekea Ukingoni, Kiasi kwamba itafikia zama ambazo mtu akitoa Fedha watoto watakuja kushangaa!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...