MAREHEMU OMARY SAIDI ULEMBO
05-05-1966 – 12-08-2010
Ni miaka 3 sasa tangu ututoke ghafla, wakati ulipotuaga kuwa unaenda Nairobi Kenya kwa shughuli za kikazi ukiwa mzima wa afya lakini ukarejea ukiwa marehemu.
Unakumbukwa zaidi na mpenzi mke wako Sheilla, watoto wako Harith na Shamim, mama yako Bi. Husna, mama zako wadogo na wakubwa, dada zako, kaka zako, wadogo zako, ndugu jamaa na marafiki wote.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu ailaze Roho yako mahali pema peponi,
AMEEN.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...