Katibu Mkuu Kiongozi, Mhe. Balozi Ombeni Y. Sefue akijiandaa kuongea na Waandishi wa Habari waliojikusanya jioni hii kuhusu Uteuzi wa Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu Wapya, jijini Dar es Salaam.   Pembeni kushoto ni Bw. Salvatore Rweyemamu, Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu. 

NAIBU MAKATIBU WAKUU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. What happened to patrick.Mpiga kazi kwelikweli

    ReplyDelete
  2. Katibu Mkuu wizara ya afya bado kuna tatizo pale...

    Hiyo wizara ahiitaji just an economist....kwa nchi kama yetu tunahiitaji mtu aliyebobea kwenye health planning, health economics, health policy, na health systems....

    Hivi Tanzania hatuna watalaam wenye hizo qualifications..

    Ndiyo maana we are not doing well kwenye afya, na mambo yanazidi kuwa ovyo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...