Mdau Ruger Kahwa kushoto ambaye ni mkuu wa ofisi ya United Nations Office for Coordination of Humanitarian Affairs nchini Papua New Guinea akiwa na Balozi wa Australia nchini Papua New Guinea Ms. Deborah Stokes kulia na Askofu wa jimbo Katoliki la Lae Most Rev. Christian Blouin CMM katikati kwenye hafla fupi mara baada ya ufunguzi wa AusAID emergency relief supply warehouse katika mji wa Lae nchini Papua new Guinea.
Home
Unlabelled
Mdau Ruger Kahwa kwenye ufunguzi wa AusAID Emergency Relief Supply Warehouse nchini Papua New Guinea
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.png)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...