Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais SMZ Fedha, Mipango na Uchumi Mh. Omar Yusuf Mzee  hapo tarehe 29/7/13 alifanya ziara ya kikazi nchini Oman.

Wakati ya ziara hiyo Mh. Waziri Omar Yusuf Mzee(wa kwanza kushoto) alikutana na kufanya mazungumzo na Mh Yusuf bin Alawi bin Abdulla, Waziri anaeshughulika na Mambo ya Nje wa Oman(wa pili kushoto) huko nyumbani kwa mwenyeji wake katika mji wa Salalah katika Mkoa wa Dhofar kusini mwa Oman.

Mazungumzo hayo ambayo yaliyofuatiwa na karama ya Iftar, yaliyohusu masuala ya ushirikiano kati ya Zanzibar na Oman pia yalihudhuriwa na Balozi wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania nchini Oman, Mh. Ali Ahmed Saleh(wa kwanza kulia) "

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kitu gani kimefichwa hapo kwenye picha??

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...