Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na madiwani wa CCM na Wajumbe wa kamati ya siasa wilaya ya Buhigwe.
 Madiwani na Wajumbe wa kamati ya siasa wilaya ya Buhigwe waliohdhuria kikao kilichoongozwa na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.
 Katibu wa NEC Itikadi  na Uenezi Nape Nnauye akivishwa skafu alipowasili katika ofisi za CCM wilaya ya Kibondo.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisaini kitabu cha wageni katika za ofisi za CCM wilaya ya Kibondo sanjali na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma Dk.Amani Kaborou.
 Baadhi ya wanachama na wapenzi wa CCM wilaya ya Kibondo wakiwa wamefurika katika ofisi za wilaya ya Kibondo kumsalimia Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akisisitiza jambo wakati mkutano na madiwani na wajumbe wa kamati ya siasa ya wilaya ya Kibondo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mimi nahitaji kadi ya chama kimojawapo cha siasa Tz, kati ya CCM na CHADEMA.

    Naomba wadau nishaurini tafadhali.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...