Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy akimkaribisha Wizarani Bibi Maria Gracia Pulido-Tan, Mwenyekiti wa Tume ya Ukaguzi ya Jamhuri ya Ufilipino alipofika kwa ajili ya mazungumzo. Bibi Pulido-Tan pia ni Mgombea wa Jamhuri ya Ufilipino kwenye Bodi ya Ukaguzi ya Umoja wa Mataifa. 
Bibi Pulido-Tan akimtambulisha kwa Balozi Mushy,  Bi. Donna Celeste Feliciano-Gatmaytan, Kaimu Balozi wa Ufilipino nchini Kenya.
Balozi Mushy akiwa katika mazungumzo na Bibi Pulido-Tan kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano wa kimataifa.
Baadhi ya wajumbe kutoka Ufilipino waliofuatana na Bibi Pulido-Tan.
Mazungumzo yakiendelea.
Picha ya pamoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kila nchi inaipenda bongo.
    Hicho kinyago ni cha mpingo au ni boya(fake)? Kama jibu ni mpingo,basi kitakua ni kizito sana kanakwamba suala la safety lizingatiwe, maana kikiyumba kidogo kinaweza kuangukia wageni na kuwajeruhi.
    Hivyo hakipaswi kuwepo hapo ndani labda kiwe kimefungwa na waya ngumu au minyororo ili kiwe stable.
    Ni mawazo yangu tu..

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...