Msanii Shilole alipofanya ziara yake nchini Marekani alipata ya kutembelea idhaa ya Kiswahili ya VOA na kufanya mahojiano na mpiganaji Sunday Shomari. Bofya kamshale hapo chini kuungana naye alipokuwa ndani ya studio za VOA akieleza yale aliyoyapata Marekani na siri ya staili ya muziki wake.Hii ikiwa ni sehemu ya Kwanza.
Home
Unlabelled
SHILOLE ALIPOLONGA NA VOA ALIPOKUWA ZIARANI MAREKANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...