Kikosi cha Simba kilichoibwaga Sports Club Villa ya Uganda mabao 4-1 wamakti wamechi ya kirafiki ya Tamasha la Simba kwenye Uwanja wa Tiafa Dar es Salaam jioni hii.
 Kikosi cha Sports Club Villa ya Uganda iliyopigwa na Simba mabao 4-1
 Mchezaji wa Simba Ramadhan Chombo 'Lidondo' (kushoto) akitafuta mbinu za kuwapita wachezaji wa  Sports Club Villa ya Uganda katika mechi ya kirafiki ya Simba Day kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jana.


 Mchezaji wa Simba, Nassoro Masoud (kushoto) akipigwa chenga na Kalyowa Emma wa Sports Club Villa ya Uganda katika mechi ya kirafiki ya Simba Day kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Wapenzi wa Simba wakishangilia bao la pili dhidi ya Sports Club Villa ya Uganda katika mechi ya kirafiki ya Simba Day kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...