Imam Mkuu wa Msikiti wa Manyema,Sheikh Hamad Jongo akiswalisha Swala ya Idd el Fitri,ambayo kimkoa imeswaliwa leo katika viwanja vya Mnazi Mmoja,Jijini Dar es Salaam.ikiwa ni ibada ya kumalizika kwa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan.
Waumin wa Kiislam kutoka maeneo mbali mbali ya jiji la Dar es Salaam,wakishiriki kwenye Swala ya Idd el Fitri,ambayo kimkoa imeswaliwa leo katika viwanja vya Mnazi Mmoja,Jijini Dar es Salaam.ikiwa ni ibada ya kumalizika kwa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan.
Imam Mkuu wa Msikiti wa Manyema,Sheikh Hamad Jongo akitoa hotuba wakati wa Swala ya Idd el Fitri,ambayo kimkoa imeswaliwa leo katika viwanja vya Mnazi Mmoja,Jijini Dar es Salaam.ikiwa ni ibada ya kumalizika kwa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan.
Waumin wa Kiislam kutoka maeneo mbali mbali ya jiji la Dar es Salaam,wakifuatilia hotuba iliyokuwa ikitolewa na Imam Mkuu wa Msikiti wa Manyema,Sheikh Hamad Jongo wakati wa Swala ya Idd el Fitri,ambayo kimkoa imeswaliwa leo katika viwanja vya Mnazi Mmoja,Jijini Dar es Salaam.ikiwa ni ibada ya kumalizika kwa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan.
Mwenyekiti wa CUF,Prof. Ibrahim Lipumba akiwa akiwa ni miongoni mwa waumini wa kiislam walioswali swala ya Idd el Fitr,kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam leo.
Waumini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...