MHIFADHI mkuu hifadhi ya Taifa mlima Udzungwa Vitalis Uruka akitoa maelezo kwa watu waliotembelea banda la TANAPA ndani ya viwanja vya mwalimu Julius Nyerere maarufu Nanenane mjini Morogoro.Tanzania inajumla ya Hifadhi 16. 
KAIMU Mhifadhi Mkuu hifadhi ya Taifa Mikumi Dattomax Sellanyika akihojiwa na mwandishi wa habari wa kituo cha radio TIMES FM cha Jijini Dar es Salaaam Adam Hussein, pembeni ni Mhifadhi mkuu hifadhi ya Taifa mlima Udzungwa Vitalis Uruka.Tanzania inajumla ya Hifadhi 16,kwenye maonesho yanayoendelea ya Nane nane mkoani Morogoro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. "Maonesho"

    Hapo sawa. Naona sasa kifimbo cheza hana lake.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...