Bi Jamila Habib Daudi mmoja ya washindi wa Bajaji wa wiki ya Nne ya Promosheni ya Miliki Biashara yako na Tigo akijaribu kuendesha Bajaji
yake mara baada ya kukabidhiwa katika Viwanja Manzese Jijini Dar es
Salaam.Kulia ni Meneja Uzalishaji wa Kampuni hiyo, Suleiman Mushagama.
Mtaalamu wa Biashara na Masoko wa Tigo, Gaudence Mushi akimkabidhi funguo mmoja ya washindi wa droo ya Nne ya ya Promosheni ya Miliki Biashara yako na Tigo, Amiri Hamis Chiumbo wakati wa hafla iliyofanyika Manzese Jijini Dar es Salaam.
Mtaalamu wa Biashara na Masoko wa Tigo, Gaudence Mushi, akimkabidhi funguo mmoja ya washindi wa droo ya Nne ya Promosheni ya Miliki Biashara yako na Tigo Beatrice Gelvas Mkembo wakati wa hafla iliyofanyika Manzese Jijini Dar es Salaam





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...