Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha Waziri Mkuu wa Serikali ya Uholanzi Mark Rutte,alipofika katika Ofisi ya Waziri huyo Nchini The Hague Uholanzi akiwa katika ziara na Ujumbe aliofuatana nao.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akiwa katika mazungumzo na Waziri Mkuu wa Serikali ya Uholanzi Mark Rutte,alipofika katika Ofisi ya Waziri huyo Nchini The Hague Uholanzi akiwa katika ziara na Ujumbe aliofuatana nao,(kushoto) Waziri wa Ardhi,Maji,Makaazi na Nishati Ramadhan Abdalla Shaaban.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akifuatana na Mwenyeji wake Waziri Mkuu wa Serikali ya Uholanzi Mark Rutte,baada ya mazungumzo yaliyofanyika katika Ofisi ya Waziri huyo Nchini The Hague Uholanzi akiwa katika ziara ya Kiserikali na Ujumbe aliofuatana nao.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Bibi Regine Aalders,kutoka Wizara ya Afya nchini Uholanzi,wakati alipotembelea katika Ofisi ya Kampuni ya Sakura Finatek jana,ambayo inatengeneza Vifaa vya maabara vya Uchunguzi wa Binadamu,nje ya Mji wa The Hague Nchini Uholanzi akiwa katika ziara ya Kiserikali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Sio "Nchini The Hague Uholanzi" ni MJINI The Hague Uholanzi.

    ReplyDelete
  2. Mbona lango kuu la kuingilia ofisi ya waziri mkuu wa uholanzi limechakaa hivyo? Au ni museum?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...