Mjumbe wa Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro, Bw. Hassani Mkivanga (aliyesimama) akiwasilisha maoni kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba mbele ya Wajumbe wa Tume hiyo kutoka kulia Bi. Kibibi Hassan, Joseph Butiku   na Mjumbe wa Sekretarieti ya Tume, Bw. Mubarak Saleh. Mkutano huo ulifanyika jana Jumatano (Julai 31, 2013) katika ukumbi wa Chuo cha Ualimu cha Green Bird kilichopo Wilayani humo. 
  Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bw. Joseph Butiku akizungumza na Wajumbe wa Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro (hawapo pichani) wakati wa kufunga mkutano wa Baraza hilo jana Jumatano (Julai 31, 2013) katika ukumbi wa Chuo cha Ualimu cha Green Bird kilichopo Wilayani humo. Kulia ni Mjumbe wa Tume hiyo, Bi. Kibibi Mwinyi Hassan.
 Mjumbe wa Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro, Bi. Christina Kasaga akichangia hoja wakati wa mkutano wa kuijadili na kuitolea maoni Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika  mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Ualimu cha Green Bird kilichopo Wilayani humo jana Jumatano (Julai 31, 2013).
1.       Mjumbe wa Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya yua Mwanga Mkoani Kilimanjaro, Bw. Thomas Edward akichangia akichangia hoja wakati wa mkutano wa kuijadili na kuitolea maoni Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika  mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Ualimu cha Green Bird kilichopo Wilayani humo jana Jumatano (Julai 31, 2013).
1.       Mjumbe wa Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro, Bw. Hamza Mwanga akiwasilisha maoni ya wajumbe wa kundi lake kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika  mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Ualimu cha Green Bird kilichopo Wilayani humo jana Jumatano (Julai 31, 2013). Picha na Tume ya Katiba

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. pls can u give me details of how i can get this constitution of Tanzania both new and old,and i want to know why its very hard for we locals citizens to get Katiba yet we are the ones who should be given first priority.Tume ya katiba you should do something.

    ReplyDelete

  2. Silas, ungekuwa M-Tanzania ungepata Katiba zote ili uzichambue na kutoa maoni yako kwa faida ya nchi yetu, lakini kwakuwa wewe siye, jitahidi na wewe upate mchakato na rasimu ya katiba ya nchi yako ulikotoka utoe maoni yako kwa faida yako na wananchi wa nchi yako. Habari ndiyo hiyo!

    ReplyDelete
  3. Kama Silas umeweza kuingia michuzi kwanini iwe shida kupata katiba ya nchi, ingia kwenye website ya serikali utaona

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...