Mratibu wa Kongamano la siku moja kwa Wadau wa Habari na Mawasiliano hapa nchini,kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi,Prof. Msafiri Jackson akiwasilisha mada yake iliyohusu Uchafuzi wa Hewa pamoja na kelele,wakati wa Semina ya kuwafundisha Wanahabari namna ya kufikisha habari kwa jamii juu ya maswala ya Usafiri na Mazingira iliyofanyika leo kwenye ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Giraffe,Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.
 Mratibu wa Semina ya siku moja kwa Wadau wa Habari na Mawasiliano hapa nchini,kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi,Prof. Msafiri Jackson akiwasilisha mada yake iliyohusu Uchafuzi wa Hewa pamoja na kelele,wakati wa Semina ya kuwafundisha Wanahabari namna ya kufikisha habari kwa jamii juu ya maswala ya Usafiri na Mazingira katika mtandao wa Kisayansi na Teknolojia iliyofanyika leo kwenye ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Giraffe,Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.
Mwandishi wa habari kutoka EATV,Sophia Mganya akiwasilisha Mada yake wakati wa semina hiyo ya kuwafundisha Wanahabari namna ya kufikisha habari kwa jamii juu ya maswala ya Usafiri na Mazingira katika mtandao wa Kisayansi na Teknolojia liyofanyika leo kwenye ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Giraffe,Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Wadau wa Maswala ya Habari na Mawasiliano wakifatilia mada mbali mbali zilizokuwa zikiwasilishwa kwenye Semina hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...