Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA wakiwa nje ya jingo la Makao Makuu ya Shirika la Utangazaji la Afrika ya Kusini (SABC). Kutoka kushoto ni Festo Sikagonamo (ITV), Phinias Bashaya (Mwananchi), Lilian Shirima (TBC 1), Alex Magwiza (TBC Taifa), Maxmilian Bushoke mtanzania anayeishi Johannesburg na Albano Midelo (Nipashe).
Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya SABC Mike Arareng (kushoto) akiongea na washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA walipomtembelea ofisini kwake.
Meneja Uhusiano wa TANAPA Pascal Shelutete akifanya mahojiano katika Studio za SABC.
Lilian Shirima wa TBC 1 ambaye ni mshindi wa Tuzo za Habari za TANAPA akiwa katika studio za SABC.
Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA katika picha ya pamoja ndani ya chumba cha habari cha SABC na Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili Mike Arareng( wa kwanza kushoto) na mtangazaji wa SABC kutoka Kenya Christina ( wa tatu kushoto).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...