Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongoza kikao cha kutathimini` maeneleo ya Mkakati wa serikali wa Big Result now kwenye Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Agosti 21, 2013. Wapili kulia ni Wazri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Mhongo, Watatu kulia ni Waziri wa Kilimo na Ushirika, Mhandisi Chiza na kushoto ni naibu Waziri wa Maji, Dr. B. Mahenge.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...