Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongoza kikao cha kutathimini` maeneleo ya Mkakati wa serikali wa Big Result now kwenye Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Agosti 21, 2013. Wapili kulia ni Wazri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Mhongo, Watatu kulia ni Waziri wa Kilimo na Ushirika, Mhandisi Chiza na kushoto ni naibu Waziri wa Maji, Dr. B. Mahenge.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Home
Unlabelled
WAZIRI MKUU PINDA AONGOZA KIKAO CHA KUTATHIMINI BIG RESULT NOW LEO JIJINI DAR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...