Mwalimu wa Gofu kwa watoto wadogo klabu ya Gymkhana, Dar es Salaam Bw. Claude Nkawamba akimfundisha Vanessa Nkurlu (7) mchezo huo,Mwalimu huyo alitoa wito kwa wazazi wakitanzania kuwapeleka watoto wao kujifunza mchezo huo jana.
Mtoto mwanafunzi wa Gofu Vanessa Nkurlu (7) akiangalia mpira aliyeupiga ukielekea katika shimo la pili katika uwanja wa klabu ya Gymkhana, Dar es Salaam,jana.
Amani Nkurlu akijiandaa kupiga mpira wa gofu katika uwanja wa klabu ya Gymkhana jijini Dar es Salaam,Wakishuhudia ni Mwalimu wa Gofu Bw. Claude Nkawamba na mwanafunzi wa gofu Vanessa Nkurlu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Vifaa vya kuchezea golf pekee ni gharama. Kiwanja kipo mbali na wachezaji. Ni mchezo mzuri kama una vijisenti.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...