Katibu Mkuu wa CUF Hamad Masoud (wakatikati) akizungumza na wandishi wa Habari kuelezea mambo mbilimbali yanayoendea Nchini, kulia Mjumbe wa Baraza Kuu la CUF Omar Ali Shehe na kushoto Mkurugenzi wa Haki za Binaadam Salum Bimani,katika Ofisi ya CUF Vuga Mjini Unguja.
  Mjumbe wa Baraza Kuu la CUF Omar Ali Shehe wa kwanza kulia akielezea kitu kwa wandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu uwandikishaji wa Daftari la kudumu la wapiga Kura, katika Ofisi ya CUF Vuga Mjini Unguja.
(Picha zote na Makame Mshenga Maelezo Zanzibar).
 Baadhi ya wandishi waliohudhuria katika Mkuta huo, katika Ofisi ya CUF Vuga Mjini Unguja sep 19.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hivi vyeo vya CUF vinazunguka kwa wale wale!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...