Timu ya Travelport ikiongozwa na Meneja Mkuu wa Kampuni ya Travelport, Eliasaph Mathew (wa kwanza kulia msitari wa mbele).
Timu ya Precision Air wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo, Sauda Rajab (katikati).
Timu ya Travel Agent nayo ilishikiriki kikamilifu.
Timu ya Simbanet nayo haikuwa nyuma.
Ilikuwa ni mchaka mchaka kwa timu ya Simbanet (aliyevaa jezi nyeupe) akimpelekesha mchezaji wa timu ya Precision Air.
Kampuni
ya Travelport mwishoni mwa wiki iliandaa bonanza la kuzimisha miaka 15
tokea kuanzishwa kwake lililofanyikia katika viwanja vya Don Bosco
Osterbay jijini Dar. Katika bonaza hilo kulikuwemo na michezo mbali
mbali ambao iliweza kuwashirikisha makampuni mbali mbali ambao ni wadau
wao wakiwemo, wadau mbali mbali wakiwemo Precision Air, Simbanet, Travel
Agent.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni Precision Air, Sauda Rajab akitoa zawadi ya kikombe kwa Meneja Mkuu wa Kampuni ya Travelport, Eliasaph Mathew ambaye alikuwa ni kapteni wa timu hiyo. Timu ya Travelport alishinda timu zote na kujinyakulia ubingwa huo.
KUONA PICHA ZAIDI ZA BONANZA HILO BOFYA HAPA
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni Precision Air, Sauda Rajab akitoa zawadi ya kikombe kwa Meneja Mkuu wa Kampuni ya Travelport, Eliasaph Mathew ambaye alikuwa ni kapteni wa timu hiyo. Timu ya Travelport alishinda timu zote na kujinyakulia ubingwa huo.
KUONA PICHA ZAIDI ZA BONANZA HILO BOFYA HAPA


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...