Timu ya Travelport ikiongozwa na Meneja Mkuu wa Kampuni ya Travelport, Eliasaph Mathew (wa kwanza kulia msitari wa mbele).
Timu ya Precision Air wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo, Sauda Rajab (katikati).
 Timu ya Travel Agent nayo ilishikiriki kikamilifu.
Timu ya Simbanet nayo haikuwa nyuma.
Ilikuwa ni mchaka mchaka kwa timu ya Simbanet (aliyevaa jezi nyeupe) akimpelekesha mchezaji wa timu ya Precision Air.
 Kampuni ya Travelport mwishoni mwa wiki iliandaa bonanza la kuzimisha miaka 15 tokea kuanzishwa kwake lililofanyikia katika viwanja vya Don Bosco Osterbay jijini Dar. Katika bonaza hilo kulikuwemo na michezo mbali mbali ambao iliweza kuwashirikisha makampuni mbali mbali ambao ni wadau wao wakiwemo, wadau mbali mbali wakiwemo Precision Air, Simbanet, Travel Agent.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni Precision Air, Sauda Rajab akitoa zawadi ya kikombe kwa Meneja Mkuu wa Kampuni ya Travelport, Eliasaph Mathew ambaye alikuwa ni kapteni wa timu hiyo. Timu ya Travelport alishinda timu zote na kujinyakulia ubingwa huo.

KUONA PICHA ZAIDI ZA BONANZA HILO BOFYA HAPA 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...