Mkurugenzi
wa kampuni ya Free Mind Events yenye makazi yake jijini Dar es Salaam,
AbdulMalik Fundikira akiwa na Mzee Maiko, mmoja kati ya walezi wa kituo
cha New Hope, kilichopo Mjimwema, Kata ya Ungindoni, eneo la Kigamboni
jijijni Dar es salaam ambapo jana kampuni yake ilifungua mwezi Septemba
kwa kula chakula cha mchana na watoto hao
Chakula
kilipikwa na kampuni hiyo inayotoa pia huduma ya Catering, hapa Malik
akionesha chakula na kukionja kuhakikisha kwamba ni salama kwa kuliwa
Hapa
ni maandalizi yakiendelea, Abdul Malik, na Anna Mwakatundu ambao ni
wakurugenzi wa kampuni ya Free Mind Events wakiwa washughulikaji wakuu
Msosi fresh, pamoja na watoto
Baadhi ya watoto wa kituo cha New Hope wakiendelea na msosi


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...