Mkurugenzi wa kampuni ya Free Mind Events yenye makazi yake jijini Dar es Salaam, AbdulMalik Fundikira akiwa na Mzee Maiko, mmoja kati ya walezi wa kituo cha New Hope, kilichopo Mjimwema, Kata ya Ungindoni, eneo la Kigamboni jijijni Dar es salaam ambapo jana kampuni yake ilifungua mwezi Septemba kwa kula chakula cha mchana na watoto hao
 Chakula kilipikwa na kampuni hiyo inayotoa pia huduma ya Catering, hapa Malik akionesha chakula na kukionja kuhakikisha kwamba ni salama kwa kuliwa
 Hapa ni maandalizi yakiendelea, Abdul Malik, na Anna Mwakatundu ambao ni wakurugenzi wa kampuni ya Free Mind Events wakiwa washughulikaji wakuu
 Msosi fresh, pamoja na watoto
 Baadhi ya watoto wa kituo cha New Hope wakiendelea na msosi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...