Aliyekua Katibu Mkuu wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dr Stergomena Lawrence Tax, ambaye sasa ni Katibu Mtendaji wa SADC, akimkabidhi ofisi Katibu Mkuu mpya wa Wizara hiyo Ndugu Joyce K.G Mapunjo. 
 Katibu Mtendaji wa SADC Dr Stergomena Lawrence Tax akipongezwa na wawakilishi wa Makatibu Wakuu wanawake 
Katibu Mtendaji wa SADC katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa WIzara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Ndugu Joyce K.G Mapunjo na wawakilishi wa Makatibu Wakuu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...