NI MIAKA KUMI NA MBILI(13) TOKA TULIPOONDOKEWA NA MAMA YETU MPENZI ROSE MBWEZELENI(MAMA JOHN) NI KWELI UMETUTOKA KIMWILI LAKINI KIROHO BADO UPO NASI.KUMBUKUMBU YA UPENDO WAKO IENDELEE KUWA DIRA KWA SIE AMBAO UMETUACHA.
       DAIMA UNAKUMBUKWA NA WANAO JOHN,SHABAAN(KING),HAPPY, KADRI NA KAKA NA DADA ZAKO PAMOJA NA NDUGU NA JAMAA WOTE.
            MUNGU AENDELEE KUIWEKA ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI
                                            AMIN.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...