Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Thanx lulu serikali pia inabidi kufanya zaidi kwani jamii haina utaalamu wa kuendeleza vipaji.Niko Ulaya nina mtoto yuko nursary ila nimeshaenda shuleni mara mbili kueleza vipaji vyake na record inatunzwa na wanajitahidi kuboost vipaji otherwise wabunifu wa kamata fursa nawapa bigup.

    ReplyDelete
  2. elimu kwanza. msanii mwenye digrii ni bora zaidi ya la saba.

    ReplyDelete
  3. watoto wote wakiwa lulu wakaacha masomo na kukimbilia vipaji nchi itaisha.

    ona division zero 60% lakini kila aliyepata zero ana mistari.

    lulu jifunze uchambuzi.

    ReplyDelete
  4. Ina maana watóto wote wenye vipaji waache shule ili waendeleze vipaji? Wapi tutapata viongozi wa kesho wenye elimu. Usipotoshe watoto wa watu Lulu. Kama wewe unaona umefanikiwa shukuru lakini sio watoto kuwashawishi waache shule na kuendeleza vipaji tu.

    ReplyDelete
  5. cha muhimu alichosahau kuzungumzia ni ku balance masomo na vipaji sababu wasanii wengi wa tanzania (wachezaji, mziki na maigizo) wana vipaji lakini hawafiki mbali kimataifa sababu hawajui kiingereza!!!

    ReplyDelete
  6. Shule kwanza Lulu. Acha kulaghai umma wa vijana. Kipaji kinapanda chart shule ikiwa imepanda kichwani. Acha ku site ma mbumbumbu kama wewe!

    ReplyDelete
  7. Shule kwanza Lulu. Ndio maana nchi za wenzetu kuna elimu za uimbaji, uigizaji na sanaa nyingine.

    ReplyDelete
  8. Mimi nafikiri ingekuwa busara ungemtaja pia kanumba kama mfano mzuri, sio tu biba au Wako Jaco. Hongera kwa kujiandaa kimaisha

    ReplyDelete
  9. Nadhani kwa upewo wake kajieleza vizuri sasa watu saikology
    mumuandae msije shangaa kesho kawa mbunge wa vijana huyo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...