Mwenyekiti wa Bodi ya Wahandisi  nchini Mhandisi Prof.Lyatuu Mrema(kushoto) akitoa taarifa kwa waandishi wa habar i(hawapo pichani) kuhusu maadhimisho ya Siku ya Wahandisi nchini iatakayofanyika Septemba 5 na 6, 2013 jijini Dar es Salaam ambapo itwashirikisha karibu wahandisi 1000, Katika siku hiyo pia kutakuwepo na mabanda 50 ya maonyesho ya kihandisi, utoaji wa tuzo pamoja  na kula kiapo  cha Wahandisi Wataalamu. Kulia ni Msajili wa Bodi ya Wahandisi nchini Mhandisi Steven Mlote.
Picha na Mwanakimbo Jumaa - MAELEZO
 
 

 
 
 
 

 
 

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Huyo anayeongea anaitwa Prof. Ninatubu Lema na siyo Lyatuu Mrema

    ReplyDelete
  2. wahandisi wengi tanzania hawajui uhandisi... hawapo practical wanajua formulas..kanuni na kuandika reports za kucook data. utaona muhandisi wa ujenzi mwenye degree yake akifika kwenye jengo/site anazidiwa au anaelekezwa na wa ftc/veta... ambao wao wamesoma zaidi kwa vitendo kuliko wale wanaotoka kidato cha 6 na kwenda pale mlimani. WANA CHA KUJIVUNIA KABISA... WANAPENDA SANA KAZI ZA MENEJIMENTI KULIKO ZA UHANDISI.. DO RESEARCH TO PROVE ME WRONG.

    ReplyDelete
  3. Mzungumzie kuhusu kukosekana kwa wakandarasi wa kutosha nchini kupeleka umeme vijijini na jinsi ya kuongeza na kuwezesha mainjinia wazawa kufungua kampuni iliziweze kuchukua kandarasi hizi.

    ReplyDelete
  4. Anayeongea hapo juu ni kweli ni Prof. Ninatubu Mbora Lema na siyo Prof. Lyatuu Mrema.

    ReplyDelete
  5. pia mzungumzie kwa nini wahandisi 1000 mnashindwa kuhakikisha website yenu inafanya kazi muda wote kutoa habari kwa wadau

    mnashindwa hadi na MISUPU!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...