Washiriki  wa  tamasha  la  11  la mtandao  wa  jinsia  Tanzania (TGNP) wakishiriki maandamano  ya amani ya  maadhimisho ya miaka 20 ya  mapambano ya   ukombozi  wa  wanawake kimapinduzi makao makuu ya taasisi hiyo Mabibo, jijini Dar es salaam.  Kwa picha zaidi na Francis Godwin BOFYA HAPA
 Waadamanaji  hao  wakiwa na mabango  yenye  ujumbe  mbali mbali leo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kwa hiyo mnafanya nini kutatua kero hizo? Kulalama kumesaidia nini?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...