Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Philipo Mulugo (shati la draft) akiwa katikati ya mashabiki wa Mbeya City wakishangilia timu yao ilipocheza na Yanga na kutoka nayo sare ya 1-1.  katika Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya mwishoni mwa juma.
Yanga wamekata rufaa kutaka mchezo urudiwe kwa kile walichodai kuwa walifanyiwa fujo na mashabiki wa Mbeya City. TFF  imekiri kupokea rufaa hiyo ila imesema endapo fujo hizo zimefanyika baada ya mchezo na nje ya dakika 90 na nje ya uwanja si tatizo lao bali ni la kijinai hivyo wahusika hapo ni polisi.
Kwa picha zaidi na Mbeya Yetu BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...