JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA 

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Taarifa hii inatoa tathmini ya mvua za masika (Machi - Mei) 2013 na mwelekeo wa mifumo ya hali ya hewa na mvua kwa kipindi  cha Oktoba hadi Disemba2013.

1.0 TATHMINI YA MVUA KIPINDI CHA MACHI – MEI, 2013
Katika msimu uliopita wa mvua za masika 2013, maeneo mengi ya  nchi yalipata mvua za wastani isipokuwa maeneo machache ya mikoa ya Tabora, Rukwa, Mara na Singida  ambayo ilipata mvua juu ya wastani. Wakati huo huo baadhi ya maeneo ya mikoa ya Iringa, Ruvuma, Kilimanjaro na maeneo mengi ya mwambao wa pwani yalipata mvua chini ya  wastani.

Vifuatavyo ni viwango vya mvua pamoja na asilimia ya mvua zilizonyesha ikilinganishwa na wastani wa muda mrefu katika baadhi ya vituo nchini:

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Dr Kijazi hongera sana, tupatie taarifa kama hizi ili na sisi tufaidike.

    Michuzi hongera vile vile hakuna udaku hapa ni elimu kwenda mbele.

    ReplyDelete
  2. This is good but should improve on long term weather forecast.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...