Afisa wa Benki ya NMB Curthbert Zimbwe akiwaelezea Wajasiriamali jinsi ya kupata mikopo midogo midogo kutoka NMB. Wajasiriamali wanaohudhuria mafunzo mbali mbali ya siku tatu Kwenye viwanja vya Mnazi mmoja kutoka kwa wadau tofauti NMB ikiwa miongoni mwa wadau na wafadhili wakubwa wa mafunzo hayo.
Afisa wa Benki ya NMB Abdul Kandoro akiwaonyesha wajasiriamali kadi ya Benki ambayo mteja anaipata papo hapo kwa kufungua akaunti ya Chap Chap. Wajasiriamali wanaohudhuria mafunzo mbali mbali ya siku tatu Kwenye viwanja vya Mnazi mmoja kutoka kwa wadau tofauti NMB ikiwa miongoni mwa wadau na wafadhili wakubwa wa mafunzo hayo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...