
Waziri Mkuu, Mhe Mizengo Pinda akikagua akiba ya mahihindi wakati alipotembelea Maghala ya Kitengo cha Usalama wa Chakula, (NFRA) mjini Arusha . Kulia kwake ni Naibu Waziri wa Kilimo, chakula na Ushirika, Mhe Adam Malima.

Waziri Mkuu, Mhe Mizengo Pinda akikagua akiba ya mahihindi wakati alipotembelea Maghala ya Kitengo cha Usalama wa Chakula, (NFRA) mjini Arusha. Kushoto kwake ni Naibu Waziri wa Kilimo, chakula na Ushirika, Mhe Adam Malima.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...