Mkali wa muziki wa asili ya Kihaya, Saida Karoli,atafanya  matamasha makubwa mawili la kwanza ni usiku wa saida karoli, litafanyika tarehe,7.9.2013 leo jumamosi kuanzia saa 2 usiku kiigilio V.I.P ni Tsh.15000/= tu na kawaida ni Tsh.10,000/= tu kwenye ukumbi  wa LINA'S CLUB BUKOBA MJINI na Tarehe 8.9.2013 Jumapili ni katika uwanja wa Kaitaba Kiingilio ni Tsh.2500/= tu. Saida Karoli atasindikizwa na Jopo la wasanii lukuki waliowahi kurekodia nyimbo zao ndani ya Tivol Studio wakiwemo wasanii wa nchi Jirani na wa hapa nyumbani Bukoba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Safi sana. Karibu USA. Watu wote tuliojaa USA tumeshindwa kumleta huyu dada atuburudishe? Ngoja niwachambue kama karanga! Lol!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...