Na Freddy Macha
Kwa wasomaji wapya. Mwandishi Said A Mohammed keshaandika zaidi ya vitabu thelathini ikiwemo michezo ya kuigiza (tamthiliya), riwaya, mashairi na vitabu ya watoto. Riwaya yake maarufu, Asali Chungu, ilichapwa mara ya kwanza, 1976. Mwandishi aliyetopea, Adam Shafi, aliwahi kusema katika mahojiano na mhadhiri wa Kiswahili Ujerumani, Lutz Diegner, kwamba Asali Chungu ni miongoni mwa hazina kuu za Kiswahili na hupenda sana, kukisoma... KUENDELEA BOFYA HAPA
Kwa wasomaji wapya. Mwandishi Said A Mohammed keshaandika zaidi ya vitabu thelathini ikiwemo michezo ya kuigiza (tamthiliya), riwaya, mashairi na vitabu ya watoto. Riwaya yake maarufu, Asali Chungu, ilichapwa mara ya kwanza, 1976. Mwandishi aliyetopea, Adam Shafi, aliwahi kusema katika mahojiano na mhadhiri wa Kiswahili Ujerumani, Lutz Diegner, kwamba Asali Chungu ni miongoni mwa hazina kuu za Kiswahili na hupenda sana, kukisoma... KUENDELEA BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...