Mganga mkuu wa Serikali Dkt Donan Mmbando akizindua awamu ya pili ya kampeni ya tuko wangapi? tulizana! Inayosimamiwa na Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), Iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Meneja wa mpango wa taifa wa kudhibiti ukimwi Dkt Angela Ramadhan akitoa takwimu wakati wa awamu ya pili ya kampeni ya tuko wangapi? tulizana! Inayosimamiwa na Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), Iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Mwanamuziki wa bendi ya Fm Academia, ambaye ni rais wa Vijana, Nyoshi El Sadat akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa awamu ya pili ya kampeni ya tuko wangapi? tulizana! Inayosimamiwa na Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), Iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
MSanii wa muziki wa bongofleva H.Baba akitoa burudani wakati wa uzinduzi wa awamu ya pili ya kampeni ya tuko wangapi? tulizana! Inayosimamiwa na Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), Iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Waandishi wa habari wakifuatilia uzinduzi huo.


Washiriki wa uzinduzi huo awamu ya pili ya kampeni ya tuko wangapi? tulizana! wakiwa katika picha ya pamoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...