Msanii wa muziki wa kizazi kipya,ambaye kwa sasa anafanya vyema kwenye anga za muziki huo,Neylee akiimba kwa hisi jukwaani huu wakati tamasha la Serengeti Fiesta likiendelea kwa shangwe ndani ya uwanja wa Sokonine.
Mkongwe wa Hip Hop,Afande Sele a.k.a Baba Tundaa.k.a Simba Mzee akiimba kwa hisia mbele ya maelfu ya wakazi wa mkoa wa Mbeya (hawapo pichani) waliojitokeza kwenye tamasha la Serengeti Fiesta 2013,ndani ya uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Mkongwe wa Hip Hop,Afande Sele a.k.a Baba Tundaa.k.a Simba Mzee akiimba kwa hisia mbele ya maelfu ya wakazi wa mkoa wa Mbeya (hawapo pichani) waliojitokeza kwenye tamasha la Serengeti Fiesta 2013,ndani ya uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Wakazi
wa jiji la Mbeya wakiwa wamejitokeza kwa wingi usiku huu kwenye tamasha
la Serengeti Fiesta 2013 ndani ya uwanja wa Sokoine,ndio kwanza shoo
inaanza ambapo msanii aliyewahi kuiwakilisa shindano la BSS,Walter
Chilambo ndiye aliyefungua pazia la onesho hilo usiku huu.
MKali wa kukamua mangoma kutoka Clouds FM,Dj Zero akiwarusha maelfu ya mashabiki wa muziki wa kizazi kipya wanaondelea kumiminika kwenye uwanja wa Sokoine usiku huu.
Msanii aliyewahi kulwakilisa shindano la BSS,Walter
Chilambo ndiye aliyefungua pazia la onesho hilo usiku huu,pichani akitumbuiza mbele ya mashabiki wake.
Baadhi ya watu wakifuatilia yanayojiri usiku huu kwenye tamasha la Seremgeto Fiesta 2013 ndani ya uwanja wa Sokoine mkoani Mbeya.
Tamasha la Serengeti Fiesta 2013 likiendelea usiku huu kwenye uwanja wa Sokoine,Mkoani Mbeya
PICHA ZAIDI HAMIA LIVE MICHUZIJR.BLOGSPOT.COM
Tamasha la Serengeti Fiesta 2013 likiendelea usiku huu kwenye uwanja wa Sokoine,Mkoani Mbeya
PICHA ZAIDI HAMIA LIVE MICHUZIJR.BLOGSPOT.COM










Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...