Tanzania DMV

Senegal DMV
Timu ya Tanzania DMV Jumapili Sept 8, 2013 itajitupa tena uwanjani kwa mpambano wa kimataifa wa kirafiki kati yao na Senegal mechi inayotarajiwa kuanza saa 9:30 alasiri (3:30pm) kwenye uwanja uliopo 2013 Walker Mills, Capitol Heights, MD.
Mechi nyingine itakuwa Sept 15, 2013 Jumapli ijayo dhidi ya timu ya Guinea.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...