Raymond Maro akiwa pamoja na vijana wakiwakilisha nchi zao kwa michoro ya bendera  
 Balozi wa Vijana toka katika Jumuiya ya Afrika Mashariki wa  Tanzania na Kenya Raymond Maro na Milly Mbedi wanaomaliza muda wao wakiwa pamoja na waandaji wa Mdahalo wa pili wa Vijana juu ya ushirikishwaji wa vijana katika kuboresha jumuiya ya Afrika Mashariki
Balozi wa Vijana katika jumuiya ya Afrika Mashariki kwa upande wa Tanzania anayemaliza muda wake Raymond Maro akiwa na vijana wa jumuiya hiyo; Kutoka kushoto ni  Janeth Ningoi toka Tanzania, Amina Ahmed toka Kenya na Diane Kaiteta toka Rwanda baada ya kuchangia mada vema wakati wa mdahalo uliofanyika jijini Dar es Salaam 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Vijana wa Tanzania wa Kizazi kijacho juu ya hii Afrika ya Mashariki kazi mnayo!

    Sisi ahhh, tumesha kula chumvi nyingi na sasa tuna karibia mwisho wa safari zetu.

    ReplyDelete
  2. Nimefurahia sana kushiriki katika mdahalo wa pili na kukutana na vijana wenzangu kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki. Ningependa nifanye masahihisho ya jina. Jina langu ni Janeth Nagai mwakilishi kutoka Tanzania. Naipenda Tanzania. Mungu ibariki Tanzania na watu wake, bariki Jumuiya ya Afrika Mashariki.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...