Ilikuwa dakika, saa, mwezi na sasa ni miaka 10 kamili tangu alyekuwa Baba wa Marehemu John Stephano Shilatu, Mzee STEPHANO SHIGEMELO SHILATU wa Kisesa Mwanza atutoke ghafla duniani mnamo tarehe 04/09/2003 kutokana na mradhi yaliyokuwa yanakusumbua.

Unakumbukwa na wanao, wajukuu, vitukuu, ndugu, jamaa na marafiki zako ambao hawataa wausahau uchesh, upendo, na huruma zako kwa kila mtu.
Tunazidi kumuomba Mwenyezi Mungu akupumzishe mahali pema peponi.
JINA LA BWANA LIHIMIDIWE! AMEN!!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...