Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikata utepe kuzindua maonyesho ya siku ya Mara yaliyofanyika Mugu wilayani Serengeti Septemba 15, 2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama magugu maji baada ya kufungua maonesho ya siku ya Mara kwenye uwanja wa Sokoine Mjini Mugumu, Septemba 15, 2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi Nahodha wa Timu ya Soka ya Wnawake ya Manispa ya Musoma, Mariam Ibrahim baada ya timu yake kunyakuwa ushindi wa kwanza katika shindano ya kuadhimisha siku ya Mara, katika kilele cha maadhimisho ya siku hiyo mjiniMugumu Septemba 15,2013.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...